Job 32:6-7

6 aBasi Elihu mwana wa Barakeli wa kabila la Buzi akasema: “Mimi ni mdogo kwa umri,
nanyi ni wazee;
ndiyo sababu niliogopa,
sikuthubutu kuwaambia kile ninachojua.

7 bNilifikiri, ‘Yafaa umri useme,
nao wingi wa miaka ungefundisha hekima.’
Copyright information for SwhKC